Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Featured Image

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yesu./ Jina la yule msaliti aliyemwuza Yesu/ limewafanya wengi wakusahau./ Walakini Kanisa zima linakuheshimu/ na kukuomba kama Msaidizi katika mashaka makubwa,/ na katika mambo yasiyo na matumaini tena./

Uniombee mimi mnyonge./ Ninaomba utumie uwezo ule uliojaliwa/ wa kuleta upesi msaada kwa watu walioukosa./ Unisaidie sasa katika mahitaji yangu,/ ili nipate kitulizo na msaada wa mbinguni/ katika lazima zangu,/ masumbuko na mateso,/ hasa/ (taja shida yako)./ Pia ili niweze kumsifu Mungu nawe na wateule wote milele./

Mtakatifu Yuda Tadei,/ utuombee,/ na uwaombee watu wote wanaokuheshimu na kukuomba msaada./

Moyo Mtakatifu wa Yesu,/ Rafiki mpenzi wa Yuda Tadei,/ nakutumainia./

(Mwisho Sali: Baba yetu (x3), Salamu Maria (x3) na Atukuzwe(x3).

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Mwalimu (Guest) on July 13, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Daniel Obura (Guest) on June 6, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Esther Nyambura (Guest) on May 16, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Joyce Mussa (Guest) on January 11, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Esther Nyambura (Guest) on December 4, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Paul Kamau (Guest) on October 5, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Josephine Nekesa (Guest) on October 3, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Catherine Naliaka (Guest) on September 16, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Thomas Mtaki (Guest) on September 6, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Joyce Nkya (Guest) on June 17, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Sarah Mbise (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

John Kamande (Guest) on April 19, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Peter Mbise (Guest) on April 6, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Anna Kibwana (Guest) on February 25, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Carol Nyakio (Guest) on February 16, 2016

Rehema hushinda hukumu

James Mduma (Guest) on February 10, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Grace Wairimu (Guest) on December 17, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Amukowa (Guest) on November 27, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Francis Njeru (Guest) on July 27, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Andrew Mchome (Guest) on July 18, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Philip Nyaga (Guest) on June 21, 2015

Endelea kuwa na imani!

Kenneth Murithi (Guest) on April 19, 2015

Rehema zake hudumu milele

Related Posts

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About