Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?

JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Mallya (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mutheu (Guest) on November 6, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kiza (Guest) on October 20, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anna Mchome (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on September 28, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on August 27, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Mallya (Guest) on August 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mahiga (Guest) on August 13, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on August 10, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Mwikali (Guest) on July 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on June 2, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on May 29, 2021

Asante Ackyshine

Stephen Malecela (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Tabu (Guest) on May 22, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on May 14, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Irene Makena (Guest) on April 22, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on April 4, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on April 3, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on March 16, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on February 17, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nakitare (Guest) on February 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Yusuf (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Francis Njeru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on January 13, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Jane Malecela (Guest) on January 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Saidi (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Masika (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 21, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Sultan (Guest) on November 15, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Abdillah (Guest) on November 15, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mahiga (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mwangi (Guest) on November 5, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on October 28, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Saidi (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on October 2, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on August 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

James Kawawa (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on August 7, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kangethe (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on April 3, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kawawa (Guest) on March 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jamila (Guest) on March 13, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Chacha (Guest) on March 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ibrahim (Guest) on February 8, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Mwangi (Guest) on January 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on December 24, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Amani (Guest) on December 21, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Kawawa (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on December 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

πŸ“– Explore More Articles