Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..

BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mercy Atieno (Guest) on April 9, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on March 15, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Aziza (Guest) on March 12, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Mahiga (Guest) on March 7, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Andrew Odhiambo (Guest) on February 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on January 26, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mwanakhamis (Guest) on January 26, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Kiwanga (Guest) on January 1, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on December 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 17, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on November 11, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kazija (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Shukuru (Guest) on September 23, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Monica Nyalandu (Guest) on September 1, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on August 20, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on June 25, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on May 21, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Wande (Guest) on April 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Tambwe (Guest) on April 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanaisha (Guest) on April 11, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mahiga (Guest) on March 29, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nora Lowassa (Guest) on March 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on March 22, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on February 1, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Maida (Guest) on January 15, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on December 28, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rahim (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Thomas Mtaki (Guest) on December 3, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on November 6, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on September 24, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwajabu (Guest) on September 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mwambui (Guest) on July 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Shamim (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mariam Hassan (Guest) on May 9, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on March 6, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on February 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on February 9, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 14, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Safiya (Guest) on January 7, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 4, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Baraka (Guest) on January 1, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on December 14, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on December 4, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nahida (Guest) on November 23, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 5, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mashaka (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Majaliwa (Guest) on October 20, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on October 10, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mary Kidata (Guest) on October 3, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Diana Mallya (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on September 10, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Benjamin Masanja (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on July 10, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About