Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.

Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.

Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…

Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.

Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.

Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.

Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!

Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Lissu (Guest) on July 20, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

James Malima (Guest) on July 14, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Nyambura (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on June 23, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on May 18, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on May 14, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on May 9, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rahma (Guest) on April 17, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Samson Mahiga (Guest) on March 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on February 8, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on February 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on January 24, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on January 1, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nahida (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Hellen Nduta (Guest) on October 30, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on September 13, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on August 1, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on July 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on June 26, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Andrew Mahiga (Guest) on June 24, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on June 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on June 22, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Jamila (Guest) on June 19, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Sokoine (Guest) on June 13, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 25, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on February 23, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Hekima (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Hamida (Guest) on February 20, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwanaisha (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on January 4, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on January 3, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on December 16, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 6, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 21, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on November 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faiza (Guest) on October 24, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Abdillah (Guest) on October 22, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Mushi (Guest) on October 18, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on October 8, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chiku (Guest) on September 26, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Nyerere (Guest) on September 20, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Violet Mumo (Guest) on September 2, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Wanyama (Guest) on August 9, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Peter Mbise (Guest) on August 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Brian Karanja (Guest) on July 30, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Francis Mrope (Guest) on July 17, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Brian Karanja (Guest) on June 26, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on May 13, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on May 10, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

James Mduma (Guest) on April 29, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 24, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Asha (Guest) on April 4, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rahim (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About