Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Featured Image

KUMBUKA

Kumbuka ee Bikira mwenye rehema, haijasikika kamwe kwamba ulimwacha mtu aliyekimbilia ulinzi wako, akiomba msaada wako, akitaka umwombe.

Nami kwa matumaini hayo, nakukimbilia ee mama, mkuu wa mabikira, ninakuja kwako, ninasimama mbele yako,Β  nikilalamika mimi mkosefu ewe mama wa neno la mungu, usiyakatae maneno yangu, mbali uyasikilize kwa wema na unitimizie Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Miriam Mchome (Guest) on October 15, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 16, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Irene Akoth (Guest) on April 13, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Ann Wambui (Guest) on March 31, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Janet Sumaye (Guest) on March 10, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Peter Mwambui (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Patrick Akech (Guest) on January 30, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Emily Chepngeno (Guest) on August 29, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on August 7, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 12, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Peter Tibaijuka (Guest) on April 14, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Mwanajuma (Guest) on March 13, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Anna Sumari (Guest) on January 28, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2016

Sifa kwa Bwana!

Margaret Anyango (Guest) on October 19, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Mwinuka (Guest) on September 11, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Christopher Oloo (Guest) on September 10, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Ruth Kibona (Guest) on August 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Ann Awino (Guest) on June 5, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Edith Cherotich (Guest) on May 24, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Benjamin Masanja (Guest) on May 4, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Related Posts

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About