Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Featured Image

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake. chupa ya pili 🍺🍺 kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi…. Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua. Bia ya tatu 🍺🍺🍺 huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza….. Bia ya nne 🍺🍺🍺🍺 huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki. Bia ya tano 🍺🍺🍺🍺🍺 ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; β€˜Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au β€˜ Mume wangu sijui yukoje hanijali’ Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole. Kuanzia bia ya sita 🍺🍺🍺🍺🍺🍺 na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. ……. …Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni. Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjika…….
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Ndungu (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mariam Hassan (Guest) on October 11, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Michael Onyango (Guest) on September 24, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on September 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Salma (Guest) on September 4, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on August 31, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 16, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on July 28, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sarah Mbise (Guest) on June 6, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Rahma (Guest) on May 15, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Linda Karimi (Guest) on April 8, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 25, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Patrick Kidata (Guest) on March 22, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on March 1, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on February 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on February 15, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Elizabeth Mtei (Guest) on January 9, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on January 7, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on January 1, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Lissu (Guest) on December 11, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on November 21, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on November 15, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on November 4, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Malela (Guest) on October 30, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on October 26, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on October 7, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

James Malima (Guest) on October 6, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Hekima (Guest) on October 5, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Njeru (Guest) on September 30, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on September 10, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on August 21, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Rose Lowassa (Guest) on August 15, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Anna Mahiga (Guest) on August 11, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on July 31, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 22, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sarah Karani (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 1, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sharifa (Guest) on June 29, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Lucy Mushi (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Francis Njeru (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Richard Mulwa (Guest) on May 26, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on May 26, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Akech (Guest) on May 21, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Muslima (Guest) on May 11, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwalimu (Guest) on May 3, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 23, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Sarafina (Guest) on April 13, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Fatuma (Guest) on April 3, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on March 12, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Ibrahim (Guest) on February 14, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Francis Njeru (Guest) on February 2, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on February 2, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Josephine (Guest) on January 31, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Khamis (Guest) on January 17, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Faith Kariuki (Guest) on January 5, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 22, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Charles Wafula (Guest) on December 17, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

πŸ“– Explore More Articles