Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kazija (Guest) on June 20, 2022

Asante Ackyshine

Mary Njeri (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on June 11, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Betty Akinyi (Guest) on May 19, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on April 14, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Wanjala (Guest) on April 2, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Emily Chepngeno (Guest) on March 30, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on March 21, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

George Tenga (Guest) on February 14, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on January 30, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on January 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on January 18, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

David Nyerere (Guest) on December 31, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Kidata (Guest) on December 21, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jane Malecela (Guest) on November 25, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Lucy Mushi (Guest) on October 22, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on October 12, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Anna Malela (Guest) on October 11, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on October 4, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Wafula (Guest) on September 23, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on August 29, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdullah (Guest) on July 25, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Maida (Guest) on June 28, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Mchome (Guest) on May 27, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Fikiri (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on April 15, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Hekima (Guest) on April 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Njeru (Guest) on February 4, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elijah Mutua (Guest) on December 23, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Asha (Guest) on December 12, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Alice Jebet (Guest) on October 8, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Latifa (Guest) on October 7, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on October 6, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on September 12, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on August 23, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Wanjiru (Guest) on August 18, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on July 30, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Salima (Guest) on July 21, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on July 8, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Wambura (Guest) on June 25, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on April 26, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on April 10, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Dorothy Nkya (Guest) on April 7, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on March 23, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on February 29, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

George Tenga (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on January 11, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Yahya (Guest) on January 4, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Peter Otieno (Guest) on January 2, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on December 30, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on November 15, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 9, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

πŸ“– Explore More Articles