Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on May 31, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on April 21, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on April 16, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on April 15, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mumbua (Guest) on April 9, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mhina (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on March 30, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Akumu (Guest) on March 20, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Richard Mulwa (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on March 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 8, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mohamed (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Frank Macha (Guest) on February 21, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on January 31, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Husna (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 29, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 23, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on December 27, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samuel Omondi (Guest) on December 22, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Rahim (Guest) on December 21, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Vincent Mwangangi (Guest) on December 15, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on November 30, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Robert Okello (Guest) on October 27, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Issa (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Samuel Were (Guest) on October 17, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on October 3, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on September 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on September 21, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on September 6, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Sumari (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Francis Njeru (Guest) on August 31, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Catherine Naliaka (Guest) on July 12, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 3, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on June 29, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on May 26, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Moses Mwita (Guest) on May 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Diana Mallya (Guest) on April 1, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mtumwa (Guest) on March 26, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on March 18, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on March 17, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Ahmed (Guest) on March 12, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on February 9, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on January 11, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on January 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Francis Mtangi (Guest) on December 6, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Juma (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Ndungu (Guest) on November 3, 2020

🀣πŸ”₯😊

James Kawawa (Guest) on October 24, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rose Amukowa (Guest) on September 15, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on August 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

πŸ“– Explore More Articles