Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kawawa (Guest) on December 20, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on December 20, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on December 5, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Sofia (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Faith Kariuki (Guest) on October 26, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 24, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Edward Lowassa (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mwambui (Guest) on October 2, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on September 25, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 10, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mhina (Guest) on August 21, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwanajuma (Guest) on August 18, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Chiku (Guest) on August 14, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on July 18, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Baridi (Guest) on July 5, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jackson Makori (Guest) on July 4, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Sarafina (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sultan (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Mussa (Guest) on May 9, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Malima (Guest) on April 9, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on March 31, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on March 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on March 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Diana Mumbua (Guest) on March 1, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on February 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on February 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on February 12, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 10, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Husna (Guest) on January 7, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on January 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on November 17, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 23, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on October 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on October 10, 2020

😊🀣πŸ”₯

Anna Mahiga (Guest) on October 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on October 1, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on October 1, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Issack (Guest) on October 1, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Irene Makena (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Amukowa (Guest) on September 16, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on September 10, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Charles Mchome (Guest) on September 3, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Lissu (Guest) on July 24, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mwajabu (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

David Ochieng (Guest) on June 28, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Salum (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 28, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kitine (Guest) on March 18, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Zakia (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on March 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About