Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Khamis (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alice Mrema (Guest) on March 7, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on March 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on February 24, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on December 28, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Raphael Okoth (Guest) on November 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ruth Mtangi (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on October 22, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on October 4, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 22, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

John Mwangi (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Kawawa (Guest) on July 10, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on July 5, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Amina (Guest) on June 24, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Mussa (Guest) on June 21, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joseph Njoroge (Guest) on June 11, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 11, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on May 30, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on May 13, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on April 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Njuguna (Guest) on December 14, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on December 9, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on November 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on November 25, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on November 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sofia (Guest) on October 19, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Linda Karimi (Guest) on October 12, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on October 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanaisha (Guest) on September 19, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mustafa (Guest) on September 14, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumaye (Guest) on September 7, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Thomas Mtaki (Guest) on May 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on April 30, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on April 25, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on April 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on April 15, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 2, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Minja (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 7, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mercy Atieno (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ruth Kibona (Guest) on January 14, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 21, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Lissu (Guest) on October 29, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 14, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 23, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on August 31, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Related Posts

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About