Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Henry Mollel (Guest) on March 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on February 24, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on December 28, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Raphael Okoth (Guest) on November 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ruth Mtangi (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on October 22, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on October 4, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 22, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

John Mwangi (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Kawawa (Guest) on July 10, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on July 5, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Amina (Guest) on June 24, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Mussa (Guest) on June 21, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joseph Njoroge (Guest) on June 11, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 11, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on May 30, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on May 13, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on April 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Njuguna (Guest) on December 14, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on December 9, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on November 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on November 25, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on November 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sofia (Guest) on October 19, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Linda Karimi (Guest) on October 12, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on October 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanaisha (Guest) on September 19, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mustafa (Guest) on September 14, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumaye (Guest) on September 7, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Thomas Mtaki (Guest) on May 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on April 30, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on April 25, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on April 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on April 15, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 2, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Minja (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 7, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mercy Atieno (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ruth Kibona (Guest) on January 14, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 21, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Lissu (Guest) on October 29, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 14, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 23, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on August 31, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Majid (Guest) on July 28, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 24, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

πŸ“– Explore More Articles