Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Maryโ€ฆ Hallow mpenzii
Lilyโ€ฆ. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lilyโ€ฆNzuri rafiki Yangu wa damu
Maryโ€ฆJioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lilyโ€ฆNakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMUโ€ฆKILA
MMOJA ANAWAZA

Lilyโ€ฆHuyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

Johnโ€ฆNiaje we mbwaa
Samโ€ฆPouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Samโ€ฆNiko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawaโ€ฆ Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMUโ€ฆKILA
MMOJA ANAWAZA

Johnโ€ฆDah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Samโ€ฆJohn bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulanaโ€ฆ
High ๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Issa (Guest) on April 30, 2022

๐Ÿ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Samuel Omondi (Guest) on April 18, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Grace Mligo (Guest) on April 18, 2022

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on April 8, 2022

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Susan Wangari (Guest) on March 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on March 21, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! ๐Ÿ˜

Ruth Wanjiku (Guest) on March 17, 2022

๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on March 9, 2022

Umesema kweli! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Daniel Obura (Guest) on March 2, 2022

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on January 19, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Bakari (Guest) on December 13, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! ๐Ÿ˜œ

Philip Nyaga (Guest) on December 5, 2021

๐Ÿคฃ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Fadhila (Guest) on November 29, 2021

๐Ÿ˜† Ninakufa hapa!

Francis Mrope (Guest) on November 27, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Nancy Komba (Guest) on November 10, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Wande (Guest) on September 30, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! ๐Ÿ˜†

Bahati (Guest) on September 24, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineโ€”kichekesho! ๐Ÿคฃ

Elizabeth Mrope (Guest) on September 15, 2021

๐Ÿคฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Akinyi (Guest) on September 4, 2021

Umetisha! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on August 30, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Khatib (Guest) on August 21, 2021

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nasra (Guest) on August 10, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! ๐Ÿ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on August 2, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Charles Wafula (Guest) on July 22, 2021

Hii ni ya kufurahisha! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…

Susan Wangari (Guest) on July 18, 2021

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tabu (Guest) on June 28, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Ruth Mtangi (Guest) on June 19, 2021

Nimecheka hadi machozi ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Anna Mahiga (Guest) on June 10, 2021

Nimeipenda hii joke! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on May 10, 2021

Hii ni joke ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Simon Kiprono (Guest) on May 4, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Khamis (Guest) on May 1, 2021

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

Francis Mtangi (Guest) on February 21, 2021

๐Ÿคฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Wanyama (Guest) on February 3, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Anna Mchome (Guest) on January 30, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐Ÿ˜†

Shabani (Guest) on January 28, 2021

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Paul Kamau (Guest) on December 25, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! ๐Ÿ†

Lydia Mutheu (Guest) on December 15, 2020

๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Charles Mboje (Guest) on December 13, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Mariam Hassan (Guest) on December 11, 2020

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on November 25, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Zakaria (Guest) on October 30, 2020

๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jamila (Guest) on October 9, 2020

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fredrick Mutiso (Guest) on October 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on October 5, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Edith Cherotich (Guest) on September 27, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaโ€”imebamba! ๐Ÿคฃ

Saidi (Guest) on September 21, 2020

๐Ÿคฃ Ninaituma sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on September 17, 2020

๐Ÿ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwanahawa (Guest) on September 10, 2020

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

David Musyoka (Guest) on August 20, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on August 16, 2020

๐Ÿ˜ Hii ni hazina ya kichekesho!

Moses Mwita (Guest) on July 24, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜„

Sumaya (Guest) on July 14, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! ๐Ÿคฃ

Ali (Guest) on May 13, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! ๐Ÿ˜

Joseph Njoroge (Guest) on May 10, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

George Tenga (Guest) on April 23, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on April 20, 2020

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Lucy Wangui (Guest) on April 16, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! ๐Ÿ†

Binti (Guest) on February 9, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! โฐ

Khalifa (Guest) on January 29, 2020

๐Ÿ˜† Hiyo punchline!

Anna Mchome (Guest) on December 25, 2019

๐Ÿ˜†๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„

Related Posts

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAAโ€ฆNA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangiโ€ฆ kiberiti kikawaishiaโ€ฆ wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hiiโ€ฆ

โ€ฆSamahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About