Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen… MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko. MUME: Emen… MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe. MUME: Kimya… MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana. MUME: …….!! MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali. MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe. Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Paul Ndomba (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 26, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on January 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on January 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on January 3, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nancy Komba (Guest) on December 28, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on December 20, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on December 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on December 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on November 15, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 5, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on October 24, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on October 16, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nashon (Guest) on October 13, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

David Kawawa (Guest) on September 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Azima (Guest) on August 20, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Mduma (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 19, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on July 9, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mrope (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on June 4, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on May 28, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Diana Mumbua (Guest) on May 12, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on April 27, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on April 27, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on April 21, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Kamande (Guest) on April 12, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on March 3, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Malela (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 2, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Salum (Guest) on January 29, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Yusra (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Margaret Mahiga (Guest) on January 11, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on December 26, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mwajuma (Guest) on December 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on December 10, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Nkya (Guest) on November 24, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on November 5, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on October 18, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Halima (Guest) on September 28, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Safiya (Guest) on September 27, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Wande (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mchuma (Guest) on September 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Christopher Oloo (Guest) on September 6, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Mushi (Guest) on September 3, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on August 12, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on August 10, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Azima (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on June 12, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on June 6, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on May 30, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on May 29, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nahida (Guest) on May 16, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Mary Njeri (Guest) on April 21, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on April 11, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

πŸ“– Explore More Articles