Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen… MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko. MUME: Emen… MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe. MUME: Kimya… MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana. MUME: …….!! MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali. MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe. Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Paul Ndomba (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 26, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on January 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on January 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwinyi (Guest) on January 3, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nancy Komba (Guest) on December 28, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on December 20, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on December 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on December 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on November 15, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 5, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on October 24, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on October 16, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nashon (Guest) on October 13, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

David Kawawa (Guest) on September 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Azima (Guest) on August 20, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

James Mduma (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 19, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on July 9, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mrope (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Esther Nyambura (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakia (Guest) on June 4, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on May 28, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Diana Mumbua (Guest) on May 12, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on April 27, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on April 27, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on April 21, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Kamande (Guest) on April 12, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on March 3, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Malela (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 2, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Salum (Guest) on January 29, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Yusra (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Margaret Mahiga (Guest) on January 11, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on December 26, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mwajuma (Guest) on December 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on December 10, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Nkya (Guest) on November 24, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on November 5, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on October 18, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Halima (Guest) on September 28, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Safiya (Guest) on September 27, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Wande (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mchuma (Guest) on September 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Christopher Oloo (Guest) on September 6, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Mushi (Guest) on September 3, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on August 12, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on August 10, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Azima (Guest) on July 17, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on June 12, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on June 6, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on May 30, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on May 29, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nahida (Guest) on May 16, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Mary Njeri (Guest) on April 21, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on April 11, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About