Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Paul Kamau (Guest) on December 22, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Sokoine (Guest) on December 10, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Kheri (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Victor Sokoine (Guest) on November 6, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwanajuma (Guest) on October 22, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Baridi (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Nkya (Guest) on August 23, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on August 22, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on August 16, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on August 4, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on June 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hekima (Guest) on June 17, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 3, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 20, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on February 26, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Kamande (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joseph Mallya (Guest) on January 26, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on January 21, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Peter Mugendi (Guest) on November 16, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on November 15, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on November 11, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Fatuma (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rukia (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on September 16, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 7, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on September 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on August 22, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Issack (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Rahma (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

John Malisa (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Linda Karimi (Guest) on July 13, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Josephine (Guest) on May 29, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on May 12, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on April 27, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on April 23, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on April 21, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nyota (Guest) on April 17, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Irene Makena (Guest) on April 4, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Patrick Mutua (Guest) on February 25, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on January 21, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Wambura (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Sumari (Guest) on December 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on December 9, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Violet Mumo (Guest) on November 2, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 26, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Athumani (Guest) on October 16, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Violet Mumo (Guest) on October 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Baraka (Guest) on September 27, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Paul Ndomba (Guest) on September 25, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

David Kawawa (Guest) on August 15, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on July 12, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anna Mchome (Guest) on June 28, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on June 6, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on June 1, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

πŸ“– Explore More Articles