Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Kikwete (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Anna Mahiga (Guest) on December 9, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shabani (Guest) on December 5, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Betty Akinyi (Guest) on October 27, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on October 19, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on October 1, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Chum (Guest) on September 11, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Fadhila (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Bahati (Guest) on August 17, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Kevin Maina (Guest) on July 30, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Josephine Nekesa (Guest) on July 13, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mtaki (Guest) on June 19, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on June 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on June 10, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on May 13, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Malela (Guest) on May 3, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mhina (Guest) on April 10, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Majid (Guest) on April 5, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Khadija (Guest) on April 4, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Michael Onyango (Guest) on March 27, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on March 14, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on March 10, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Mbithe (Guest) on March 8, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Mwangi (Guest) on February 18, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Francis Mtangi (Guest) on February 6, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on February 2, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nasra (Guest) on January 14, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on December 12, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Mariam Hassan (Guest) on December 6, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Mrope (Guest) on October 27, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Hawa (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Francis Mtangi (Guest) on September 14, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on May 27, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on April 19, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

George Tenga (Guest) on April 1, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Farida (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rashid (Guest) on February 27, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Furaha (Guest) on February 6, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Khadija (Guest) on January 18, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Carol Nyakio (Guest) on January 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on December 15, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on November 2, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 11, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 10, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on October 2, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Samson Mahiga (Guest) on September 7, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on August 19, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rubea (Guest) on August 17, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Omari (Guest) on August 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on July 27, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lydia Mutheu (Guest) on July 16, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More