Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.

Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:-Β MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALEΒ πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Njuguna (Guest) on September 3, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 25, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Azima (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 4, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Jebet (Guest) on August 1, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Chum (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Diana Mumbua (Guest) on July 22, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jamal (Guest) on July 18, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on July 18, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Salma (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mjaka (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Victor Sokoine (Guest) on May 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on April 16, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Josephine Nduta (Guest) on April 10, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mwafirika (Guest) on April 10, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on April 7, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on April 7, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Michael Mboya (Guest) on April 5, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on March 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Habiba (Guest) on March 23, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Paul Kamau (Guest) on March 17, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on February 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on January 20, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mwakisu (Guest) on December 29, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Rose Mwinuka (Guest) on December 1, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on November 26, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Frank Macha (Guest) on October 16, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 17, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mchawi (Guest) on September 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Simon Kiprono (Guest) on August 12, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwafirika (Guest) on August 11, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Mwangi (Guest) on July 15, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on May 28, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on May 18, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 12, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Kamande (Guest) on April 17, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on April 2, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Emily Chepngeno (Guest) on February 21, 2018

😊🀣πŸ”₯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 20, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Kawawa (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 21, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Kheri (Guest) on December 30, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Wangui (Guest) on December 21, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Bernard Oduor (Guest) on December 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Mugendi (Guest) on December 9, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Stephen Mushi (Guest) on November 26, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Okello (Guest) on November 25, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joseph Kiwanga (Guest) on November 16, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Ndungu (Guest) on September 14, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 10, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sharifa (Guest) on April 21, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Kabura (Guest) on April 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rukia (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Zuhura (Guest) on March 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mrema (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Related Posts

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
πŸ“– Explore More Articles