Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwaΒ ukisusa wenzio walaΒ ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwaΒ ukitoka 🚢🚢mwenzio anaingiaπŸ’ƒπŸ’ƒ

jamaa akagoma kwenda kazini 😬😬 mke akabadili kanga na kuvaa iloandikwaΒ nimemdhibiti ndo mana hatoki🚷 jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akaambiwa twende nyumbsni kwako, walipofika walimkuta mke kavaa kanga imeandikwaΒ ulidhani rafiki yako kumbe adui yakoπŸ€”πŸ€” jamaa akaamua kusafiri siku tano ili kupunguza hasira. Aliporudi akamkuta mke amevaa kanga imeandikwaΒ ni bora nimpe jirani kuliko kiozee ndani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hata kama hupendagi ujinga kwa maneno ya kwenye kanga utasanda tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mchome (Guest) on September 25, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mustafa (Guest) on September 21, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Jane Muthui (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Susan Wangari (Guest) on August 22, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Kahina (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Edward Lowassa (Guest) on August 3, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on July 9, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mtei (Guest) on June 19, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 4, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Amani (Guest) on June 3, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on May 30, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Kevin Maina (Guest) on May 17, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nassar (Guest) on May 16, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Zuhura (Guest) on May 10, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on April 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on March 20, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Jaffar (Guest) on March 6, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Salum (Guest) on January 11, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Simon Kiprono (Guest) on December 22, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on November 30, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Mchome (Guest) on October 20, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on October 18, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jaffar (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on October 9, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Njuguna (Guest) on September 8, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jamal (Guest) on September 6, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ruth Mtangi (Guest) on August 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on July 27, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Sofia (Guest) on July 16, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

John Lissu (Guest) on July 14, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 29, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kevin Maina (Guest) on June 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on May 26, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Josephine Nekesa (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on April 17, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on March 25, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jafari (Guest) on March 11, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Husna (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Mariam (Guest) on February 9, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on January 19, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on January 6, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nasra (Guest) on January 4, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mwinyi (Guest) on December 25, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Kibwana (Guest) on December 19, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rukia (Guest) on December 4, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Kassim (Guest) on October 28, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on October 26, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on October 14, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on October 2, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on August 10, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on July 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Nassor (Guest) on July 13, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Stephen Kangethe (Guest) on July 12, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Elizabeth Mrema (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Victor Kimario (Guest) on May 9, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nancy Kabura (Guest) on April 27, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

πŸ“– Explore More Articles