Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Featured Image

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje,

Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mrope (Guest) on July 1, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on June 30, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lydia Mutheu (Guest) on June 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on June 27, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on June 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on June 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Benjamin Masanja (Guest) on May 24, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on May 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on April 5, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alex Nakitare (Guest) on April 5, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Waithera (Guest) on April 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on March 29, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on March 8, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Edwin Ndambuki (Guest) on March 3, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Richard Mulwa (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on January 7, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ali (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Wilson Ombati (Guest) on December 21, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Charles Mrope (Guest) on December 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on November 5, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Azima (Guest) on October 6, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rehema (Guest) on September 16, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halima (Guest) on August 30, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on August 20, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

John Kamande (Guest) on August 18, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumaye (Guest) on July 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Grace Mushi (Guest) on June 12, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Neema (Guest) on May 26, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on May 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Arifa (Guest) on May 1, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on April 25, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 19, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Samuel Were (Guest) on April 4, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on March 21, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Makame (Guest) on March 3, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rose Waithera (Guest) on February 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Binti (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Majaliwa (Guest) on February 6, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 5, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joy Wacera (Guest) on February 3, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on January 6, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mumbua (Guest) on January 4, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on December 7, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on November 10, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

John Mwangi (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Peter Mugendi (Guest) on October 13, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mahiga (Guest) on September 26, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on August 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Husna (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwafirika (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Lissu (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Related Posts

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

πŸ“– Explore More Articles