Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Salma (Guest) on December 9, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Sokoine (Guest) on December 8, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jafari (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edward Lowassa (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ruth Mtangi (Guest) on October 30, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on September 25, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 12, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Hassan (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Wairimu (Guest) on July 29, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on July 28, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahim (Guest) on July 26, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Sumari (Guest) on July 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Diana Mallya (Guest) on June 23, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on June 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mwinyi (Guest) on May 18, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Philip Nyaga (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Shukuru (Guest) on May 6, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Chacha (Guest) on April 19, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mashaka (Guest) on March 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Peter Otieno (Guest) on February 17, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on February 8, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Betty Kimaro (Guest) on January 18, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on January 14, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Kawawa (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 19, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

George Mallya (Guest) on November 9, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 3, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on October 20, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on September 25, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on September 22, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mwachumu (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Sumaye (Guest) on August 29, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 22, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on June 20, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Christopher Oloo (Guest) on June 20, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on May 30, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Salum (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on May 13, 2018

Asante Ackyshine

Patrick Kidata (Guest) on May 9, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on April 18, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on April 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on April 3, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on March 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on March 15, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Maulid (Guest) on March 12, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on December 31, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rahim (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Hawa (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Umi (Guest) on December 7, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on November 27, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on November 12, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joyce Aoko (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on October 28, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

πŸ“– Explore More Articles