Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ali (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Minja (Guest) on July 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Wafula (Guest) on July 14, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on July 7, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

David Chacha (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on June 11, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Anthony Kariuki (Guest) on May 23, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on May 12, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Komba (Guest) on May 9, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Charles Mchome (Guest) on April 20, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwachumu (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Malima (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on April 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Charles Mboje (Guest) on March 19, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on March 11, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Fadhili (Guest) on February 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nora Kidata (Guest) on February 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 26, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on December 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on November 2, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on September 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on September 24, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 21, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mwanakhamis (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Peter Mwambui (Guest) on June 22, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mjaka (Guest) on June 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

James Mduma (Guest) on June 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Mwikali (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on May 29, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 25, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on May 18, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on March 19, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

David Chacha (Guest) on January 17, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rahim (Guest) on December 27, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sultan (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kendi (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samson Mahiga (Guest) on October 27, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Yahya (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Kawawa (Guest) on September 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 29, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on August 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on August 7, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Njeri (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on July 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on June 19, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 21, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rahim (Guest) on May 17, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 16, 2017

🀣πŸ”₯😊

Anna Mahiga (Guest) on May 15, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Related Posts

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

πŸ“– Explore More Articles