Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Violet Mumo (Guest) on October 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mgeni (Guest) on October 11, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ali (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tambwe (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Wilson Ombati (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Hellen Nduta (Guest) on August 26, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on August 25, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on June 28, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Maneno (Guest) on June 22, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 18, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

John Lissu (Guest) on May 19, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 29, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Abubakari (Guest) on April 23, 2019

Asante Ackyshine

Emily Chepngeno (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Monica Lissu (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on March 10, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on February 21, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on February 20, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on December 19, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Chris Okello (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samuel Were (Guest) on September 11, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on July 29, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on July 22, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on July 19, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on July 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on June 13, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Martin Otieno (Guest) on June 1, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 15, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Dorothy Nkya (Guest) on April 12, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

David Musyoka (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Hellen Nduta (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 12, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on December 24, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 9, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Anthony Kariuki (Guest) on November 8, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 18, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on September 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Susan Wangari (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on August 8, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on July 19, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on May 30, 2017

😊🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on May 26, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jafari (Guest) on April 30, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Achieng (Guest) on March 18, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
πŸ“– Explore More Articles