Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"

"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"

Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."

Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."

"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.

Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"

Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….

Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.

Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Wilson Ombati (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 18, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on August 15, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on July 20, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 20, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Samuel Were (Guest) on July 18, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on May 14, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on April 16, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mtei (Guest) on April 9, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Samuel Were (Guest) on March 19, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Mahiga (Guest) on March 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on January 19, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 8, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on November 29, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Kiwanga (Guest) on November 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on November 8, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 6, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Azima (Guest) on October 4, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on August 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on August 4, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 1, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on July 7, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Kiwanga (Guest) on May 12, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on May 9, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Patrick Akech (Guest) on April 14, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Henry Mollel (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mary Mrope (Guest) on March 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 24, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 22, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Paul Ndomba (Guest) on February 28, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on February 21, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Faith Kariuki (Guest) on February 18, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on February 10, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on February 10, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on December 30, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Salima (Guest) on December 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Richard Mulwa (Guest) on December 2, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Victor Mwalimu (Guest) on November 28, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 13, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on November 2, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Malisa (Guest) on October 19, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Maulid (Guest) on September 27, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Athumani (Guest) on September 25, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Cheruiyot (Guest) on September 24, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on September 8, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on August 30, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mashaka (Guest) on August 10, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on August 1, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on July 22, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on July 12, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on July 4, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Alice Jebet (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on May 12, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on May 6, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More