Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…" Mtangazaji akasema:- Akhasante sana John, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama ana kusikiliza akutafute kwa No. Gani!? John: Hapana, mi nilikuwa namshukuru tu maana amenitoa kwenye matatizo na ninapenda kumuombea Dedication wimbo wa Snura "MAJANGA" umfikie popote pale alipo…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Daniel Obura (Guest) on June 6, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Salum (Guest) on June 2, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on May 27, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

James Kimani (Guest) on May 5, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baraka (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Maneno (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mchuma (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Shani (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on December 27, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on December 6, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Chris Okello (Guest) on November 7, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam (Guest) on July 25, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on July 17, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Paul Kamau (Guest) on June 27, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Wanjala (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rose Lowassa (Guest) on May 13, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on April 29, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nancy Komba (Guest) on April 29, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Tabu (Guest) on April 17, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Paul Kamau (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Janet Sumari (Guest) on April 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on April 7, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on March 2, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on February 19, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on February 19, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on February 16, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Janet Sumaye (Guest) on January 20, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 12, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Farida (Guest) on January 3, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Sharon Kibiru (Guest) on December 29, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on December 27, 2017

🀣πŸ”₯😊

Salima (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Frank Sokoine (Guest) on December 13, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on December 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

David Nyerere (Guest) on November 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on November 21, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on November 16, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on November 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on October 21, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Wambura (Guest) on October 19, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on October 15, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Grace Majaliwa (Guest) on October 14, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on October 9, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Ann Awino (Guest) on October 4, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on September 22, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 29, 2017

Asante Ackyshine

Bahati (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on August 6, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on July 2, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Omar (Guest) on June 7, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shabani (Guest) on May 24, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About