Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Featured Image
Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: Ni fundi wa kufunga ATM Demu: Wow dont tel me i love you myn mwa mwa mwaaaaah Man: Mbona wafurahia? Demu: Nami natamani kuja kufanya kazi za kibenki. Man: Itakua poa sana nami natamani pia Demu: Hee si umesema wafanya kazi ya kufunga ATM? Man: Hukunielewa mie ninafunga mashine na za kunulia condom kwenye bar Demu: nipishe huko
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Lissu (Guest) on November 7, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Henry Sokoine (Guest) on October 26, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on October 11, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on October 4, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Mwambui (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on September 26, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Henry Mollel (Guest) on August 10, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Shabani (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Peter Mwambui (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Mallya (Guest) on June 8, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on May 19, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Stephen Malecela (Guest) on May 5, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on April 4, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on February 11, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on February 5, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rahma (Guest) on January 30, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on January 20, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on December 30, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on December 30, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on December 17, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on December 13, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Mduma (Guest) on December 12, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Francis Mrope (Guest) on December 10, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on November 24, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Richard Mulwa (Guest) on November 20, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sofia (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Majid (Guest) on October 10, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nora Lowassa (Guest) on July 14, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 30, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ruth Mtangi (Guest) on June 28, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Amukowa (Guest) on June 15, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on June 5, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hassan (Guest) on May 4, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on May 2, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on May 1, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 26, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mtei (Guest) on April 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on March 31, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on March 25, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Amani (Guest) on February 11, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 8, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Jane Muthoni (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Amani (Guest) on January 17, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mwanais (Guest) on January 16, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on January 14, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on December 28, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Moses Mwita (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

David Musyoka (Guest) on December 3, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Farida (Guest) on November 22, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on November 3, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on November 2, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Stephen Malecela (Guest) on October 30, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 22, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on October 6, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on October 5, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on September 8, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on September 1, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Related Posts

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More