Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Njoroge (Guest) on March 30, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Abubakari (Guest) on March 25, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Kheri (Guest) on March 9, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Francis Mrope (Guest) on February 23, 2020

Asante Ackyshine

Daudi (Guest) on February 11, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Adhiambo (Guest) on January 21, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Maneno (Guest) on January 17, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Margaret Anyango (Guest) on January 9, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on December 30, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

George Wanjala (Guest) on December 26, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Esther Nyambura (Guest) on December 9, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joyce Nkya (Guest) on August 8, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on July 24, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Lissu (Guest) on July 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on June 19, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kangethe (Guest) on June 9, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on June 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on April 16, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anthony Kariuki (Guest) on April 12, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mwanaisha (Guest) on March 18, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Monica Lissu (Guest) on March 2, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on February 1, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on January 25, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on January 18, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Fredrick Mutiso (Guest) on January 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

David Kawawa (Guest) on November 25, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on November 4, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on November 1, 2018

😊🀣πŸ”₯

Janet Mwikali (Guest) on September 17, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mustafa (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mahiga (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on September 2, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Samson Mahiga (Guest) on August 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on August 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajuma (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Malima (Guest) on July 16, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on June 17, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Zawadi (Guest) on May 19, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on May 13, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdillah (Guest) on May 3, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Ndungu (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on March 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on February 22, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on November 21, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Amollo (Guest) on November 20, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Mhina (Guest) on September 29, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on September 6, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Anna Mchome (Guest) on August 14, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

πŸ“– Explore More Articles