Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Featured Image

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka morogoro kurudi dar haiwezekani
MAMA:- Mme wangu morogoro ulienda bila kuniaga! ?
BABA:- Ilikuwa ni ghafla sana mke wangu sikuweza kukwambia
MAMA:- kha! Sasa watoto nani atawaangalia
BABA:- Unasemaje! We uko wapi kwan
MAMA:- Niko bagamoyo na daraja limeondolewa na maji sitaweza kurudi.
BABA:- Unasemaje we mwanamke.. nakwambia nikukute nyumban ndani ya dk 15
Baada ya dk 15 Baba kafika nyumban.
MAMA:- Haya umefkaje kutoka morogoro?
BABA:- Nimepewa lift na helkopta ya Mbowe..

Kama umeipenda shea na rfiki zakooo…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Warda (Guest) on September 15, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Moses Mwita (Guest) on September 15, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 14, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwanaidi (Guest) on August 31, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on August 31, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on August 30, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on May 26, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on May 20, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on April 23, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 17, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on March 29, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on March 13, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on February 27, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on January 22, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Maulid (Guest) on December 3, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on November 21, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on November 7, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nahida (Guest) on October 21, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Ndungu (Guest) on September 25, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwagonda (Guest) on September 15, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Majaliwa (Guest) on September 13, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 3, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Josephine Nduta (Guest) on August 4, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on June 14, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on May 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on May 18, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on May 18, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jane Malecela (Guest) on May 13, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 8, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on April 4, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Hashim (Guest) on March 18, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Irene Makena (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Amollo (Guest) on February 16, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 2, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Issack (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Monica Adhiambo (Guest) on December 22, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on November 9, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jamal (Guest) on August 15, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Zakia (Guest) on August 14, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on July 22, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

James Kimani (Guest) on July 21, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on July 13, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on June 3, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on May 25, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

George Mallya (Guest) on May 12, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on May 5, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Sarafina (Guest) on May 1, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Hawa (Guest) on April 12, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Samuel Were (Guest) on February 18, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on January 19, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on January 10, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on January 9, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on December 27, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Anna Malela (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 17, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on November 15, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About