Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamim (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Mduma (Guest) on June 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mchawi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Kamau (Guest) on May 30, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Mwita (Guest) on April 28, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hekima (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Kangethe (Guest) on March 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maimuna (Guest) on March 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mtangi (Guest) on March 5, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Wangui (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on January 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 30, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Baraka (Guest) on January 20, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Khamis (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kimario (Guest) on December 18, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Mallya (Guest) on December 12, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 2, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Kheri (Guest) on September 22, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on July 20, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Mwikali (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaisha (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Elizabeth Malima (Guest) on June 16, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on June 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Muslima (Guest) on June 4, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Maulid (Guest) on May 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Betty Akinyi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mrope (Guest) on April 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on April 4, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on March 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 17, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on January 15, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Jackson Makori (Guest) on December 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on December 2, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on November 25, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on November 21, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Jane Muthui (Guest) on October 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hashim (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jacob Kiplangat (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Otieno (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on September 20, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Wanjala (Guest) on September 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Rose Mwinuka (Guest) on August 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Monica Nyalandu (Guest) on August 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 13, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kheri (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sharon Kibiru (Guest) on July 10, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Khamis (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on May 28, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About