Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamim (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Mduma (Guest) on June 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mchawi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Kamau (Guest) on May 30, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Mwita (Guest) on April 28, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hekima (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Kangethe (Guest) on March 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maimuna (Guest) on March 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mtangi (Guest) on March 5, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Wangui (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on January 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 30, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Baraka (Guest) on January 20, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Khamis (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kimario (Guest) on December 18, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Mallya (Guest) on December 12, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 2, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Kheri (Guest) on September 22, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on July 20, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Mwikali (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaisha (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Elizabeth Malima (Guest) on June 16, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on June 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Muslima (Guest) on June 4, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Maulid (Guest) on May 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Betty Akinyi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mrope (Guest) on April 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on April 4, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on March 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 17, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on January 15, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Jackson Makori (Guest) on December 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on December 2, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on November 25, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on November 21, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Jane Muthui (Guest) on October 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hashim (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jacob Kiplangat (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Otieno (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on September 20, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Wanjala (Guest) on September 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Rose Mwinuka (Guest) on August 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Monica Nyalandu (Guest) on August 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 13, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kheri (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sharon Kibiru (Guest) on July 10, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Khamis (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on May 28, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About