Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kassim (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on July 4, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jane Muthoni (Guest) on June 29, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mtangi (Guest) on June 27, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nassor (Guest) on June 6, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Elizabeth Malima (Guest) on April 15, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 10, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on April 4, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on March 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Monica Nyalandu (Guest) on March 13, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on February 9, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on January 25, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Farida (Guest) on January 25, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Mchome (Guest) on January 5, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on December 31, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on December 8, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on November 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on November 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on November 2, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on October 4, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on September 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on August 31, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Esther Nyambura (Guest) on August 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Njoroge (Guest) on July 9, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on July 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Hassan (Guest) on July 1, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Patrick Kidata (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 1, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Henry Mollel (Guest) on April 1, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on January 14, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on January 6, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on December 18, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on November 26, 2018

🀣πŸ”₯😊

Samson Tibaijuka (Guest) on November 19, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on October 22, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fatuma (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Jebet (Guest) on September 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Chiku (Guest) on September 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Khadija (Guest) on September 12, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Josephine Nduta (Guest) on September 7, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on August 31, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Edith Cherotich (Guest) on August 28, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Josephine Nduta (Guest) on August 26, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwajabu (Guest) on August 20, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Mwinuka (Guest) on August 12, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Yusuf (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Sokoine (Guest) on June 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Wangui (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jane Muthui (Guest) on March 25, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on March 1, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on February 22, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About