Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Athumani (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Thomas Mtaki (Guest) on October 29, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 13, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hekima (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jane Muthui (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on August 25, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 3, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on July 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 27, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on May 8, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rubea (Guest) on April 25, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Ochieng (Guest) on April 24, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on April 8, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on February 26, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on January 20, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on November 10, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on October 9, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on October 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Issa (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joyce Mussa (Guest) on September 15, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Joseph Njoroge (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on August 22, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on August 7, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Masika (Guest) on August 3, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

George Tenga (Guest) on July 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 17, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on June 27, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rukia (Guest) on May 23, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on April 26, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Janet Sumaye (Guest) on March 20, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Baraka (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Njeri (Guest) on February 15, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2018

🀣πŸ”₯😊

Nancy Kawawa (Guest) on January 25, 2018

Asante Ackyshine

Andrew Mchome (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Francis Mtangi (Guest) on November 17, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on November 11, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Charles Mchome (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Andrew Mahiga (Guest) on October 7, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Abdillah (Guest) on September 16, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

George Ndungu (Guest) on September 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on August 29, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Violet Mumo (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 19, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on August 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Josephine (Guest) on August 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Kawawa (Guest) on June 12, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Ramadhan (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Kikwete (Guest) on May 28, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About