Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kitine (Guest) on April 24, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on April 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on March 26, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Wande (Guest) on March 16, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on January 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on January 19, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mjaka (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ann Awino (Guest) on December 29, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Agnes Lowassa (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on October 5, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on September 18, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mercy Atieno (Guest) on September 9, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Leila (Guest) on September 6, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Michael Mboya (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mazrui (Guest) on August 26, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Samson Mahiga (Guest) on August 25, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 24, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Alice Jebet (Guest) on July 26, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Samson Tibaijuka (Guest) on July 23, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on July 5, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Josephine Nduta (Guest) on June 13, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Alex Nyamweya (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on May 27, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on May 11, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Charles Mrope (Guest) on May 8, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Janet Sumaye (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nancy Kabura (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Susan Wangari (Guest) on January 24, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Kijakazi (Guest) on December 22, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Hellen Nduta (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 12, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Mligo (Guest) on December 11, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on October 23, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on October 6, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on October 2, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on September 13, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Esther Nyambura (Guest) on September 6, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Juma (Guest) on August 30, 2016

Asante Ackyshine

Victor Kimario (Guest) on August 28, 2016

🀣πŸ”₯😊

Frank Macha (Guest) on August 14, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Daniel Obura (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Akumu (Guest) on July 3, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Hassan (Guest) on June 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Agnes Lowassa (Guest) on June 7, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on June 3, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Faith Kariuki (Guest) on May 17, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on May 16, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lucy Mushi (Guest) on May 5, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Mallya (Guest) on April 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

John Mushi (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Kitine (Guest) on April 2, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Hellen Nduta (Guest) on March 5, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Wangui (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Umi (Guest) on February 2, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Benjamin Masanja (Guest) on January 8, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About