Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care.. BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque GIRL: Baby u are awesome… BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula…. GIRL: Enhee…na sisi?? BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives GIRL: Baby I love you BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko?? BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nora Kidata (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Daniel Obura (Guest) on July 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on June 19, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Josephine Nduta (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Fikiri (Guest) on June 12, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on March 27, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Ochieng (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kawawa (Guest) on December 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on November 9, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on October 26, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Aziza (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Lissu (Guest) on September 26, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

David Musyoka (Guest) on September 25, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salma (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Linda Karimi (Guest) on August 1, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on July 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Salma (Guest) on July 2, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Akoth (Guest) on June 29, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on June 28, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mtaki (Guest) on May 16, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Faiza (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on April 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mahiga (Guest) on March 19, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on March 14, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Abubakari (Guest) on March 9, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on February 24, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on February 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Christopher Oloo (Guest) on February 14, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Frank Macha (Guest) on February 13, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jacob Kiplangat (Guest) on February 7, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Njuguna (Guest) on January 21, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on January 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on January 18, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 22, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Monica Nyalandu (Guest) on November 30, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on November 6, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 3, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mjaka (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Wilson Ombati (Guest) on October 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on October 24, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hamida (Guest) on October 8, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Mwalimu (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Maulid (Guest) on August 16, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rubea (Guest) on July 19, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on May 15, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Irene Makena (Guest) on May 8, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 7, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

πŸ“– Explore More Articles