Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mutheu (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nassar (Guest) on May 3, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Agnes Lowassa (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Musyoka (Guest) on April 28, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on April 5, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 16, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Andrew Mchome (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on December 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on November 10, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mary Mrope (Guest) on October 31, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on October 29, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on September 15, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on September 2, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2016

🀣πŸ”₯😊

Michael Mboya (Guest) on August 15, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 10, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on July 7, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on July 1, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Lydia Wanyama (Guest) on June 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mwanaisha (Guest) on May 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mwagonda (Guest) on May 26, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Mahiga (Guest) on May 20, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on May 20, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Otieno (Guest) on May 16, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Salima (Guest) on May 11, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on March 7, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Chris Okello (Guest) on February 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on February 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on December 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on November 15, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lydia Mutheu (Guest) on November 11, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 6, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nassor (Guest) on November 6, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alex Nyamweya (Guest) on November 6, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 30, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on September 29, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on September 28, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on July 16, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Salum (Guest) on July 12, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwajuma (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Kimani (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 2, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on April 29, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on April 12, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on April 4, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More