Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Featured Image

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine Nduta (Guest) on November 7, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Khadija (Guest) on October 21, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Henry Mollel (Guest) on September 13, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sultan (Guest) on September 12, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Ochieng (Guest) on September 9, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Alex Nyamweya (Guest) on August 25, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on August 18, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on August 17, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on August 2, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 27, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on May 12, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on May 10, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on March 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on February 10, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Zawadi (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Amir (Guest) on December 18, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Yahya (Guest) on December 2, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 27, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mariam (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joyce Mussa (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Janet Sumaye (Guest) on October 20, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Janet Sumari (Guest) on October 10, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alex Nyamweya (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Kassim (Guest) on September 22, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Mrema (Guest) on September 20, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on September 16, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on July 7, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Amina (Guest) on May 4, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 2, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on April 1, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 3, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Sumaye (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 20, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lydia Wanyama (Guest) on January 20, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on December 22, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Biashara (Guest) on December 20, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Njoroge (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Athumani (Guest) on December 3, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Furaha (Guest) on November 16, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Mushi (Guest) on November 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on October 27, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on October 19, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on September 12, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Hamida (Guest) on July 24, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Biashara (Guest) on June 27, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Alice Mrema (Guest) on June 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Omari (Guest) on June 4, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jabir (Guest) on May 21, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on May 17, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on May 15, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Athumani (Guest) on April 8, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About