Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Featured Image

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.

Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwake….

Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudi…

MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi

JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka

MJOMBA; ndo uje uchi?

JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Kidata (Guest) on June 1, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Violet Mumo (Guest) on April 7, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

John Malisa (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on March 20, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ndoto (Guest) on March 10, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Njuguna (Guest) on February 28, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rehema (Guest) on February 14, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kitine (Guest) on January 30, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 29, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Wande (Guest) on January 9, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on December 27, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on November 22, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Anthony Kariuki (Guest) on October 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on October 13, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

David Chacha (Guest) on October 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 28, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Otieno (Guest) on August 13, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Andrew Mchome (Guest) on August 9, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Asha (Guest) on August 3, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 2, 2016

Asante Ackyshine

Victor Malima (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Aziza (Guest) on June 16, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Maulid (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Wangui (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Sumaye (Guest) on May 17, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

James Mduma (Guest) on April 29, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on April 24, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Baridi (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Omari (Guest) on March 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on March 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on February 2, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on January 26, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 24, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on December 21, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on December 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on December 2, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on November 8, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on November 6, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Michael Onyango (Guest) on October 27, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on October 26, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Stephen Mushi (Guest) on September 30, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on September 4, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Esther Nyambura (Guest) on August 23, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Khalifa (Guest) on August 22, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Nyambura (Guest) on August 12, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on June 1, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kazija (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on April 7, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More