Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Featured Image

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.

Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwake….

Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudi…

MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi

JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka

MJOMBA; ndo uje uchi?

JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Kidata (Guest) on June 1, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Violet Mumo (Guest) on April 7, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

John Malisa (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Kamande (Guest) on March 20, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ndoto (Guest) on March 10, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Njuguna (Guest) on February 28, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rehema (Guest) on February 14, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kitine (Guest) on January 30, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 29, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Wande (Guest) on January 9, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on December 27, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on November 22, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Anthony Kariuki (Guest) on October 14, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on October 13, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

David Chacha (Guest) on October 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 28, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Otieno (Guest) on August 13, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Andrew Mchome (Guest) on August 9, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Asha (Guest) on August 3, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 2, 2016

Asante Ackyshine

Victor Malima (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Aziza (Guest) on June 16, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Maulid (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Wangui (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Sumaye (Guest) on May 17, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

James Mduma (Guest) on April 29, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on April 24, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Baridi (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Omari (Guest) on March 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on March 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on February 2, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on January 26, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 24, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on December 21, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on December 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on December 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on December 2, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on November 8, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on November 6, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Chris Okello (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Michael Onyango (Guest) on October 27, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on October 26, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Stephen Mushi (Guest) on September 30, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on September 4, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Esther Nyambura (Guest) on August 23, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Khalifa (Guest) on August 22, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Nyambura (Guest) on August 12, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on June 1, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kazija (Guest) on April 20, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on April 7, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About