Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Halimah (Guest) on November 24, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Majid (Guest) on November 17, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Agnes Njeri (Guest) on October 30, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

John Lissu (Guest) on September 15, 2017

🀣πŸ”₯😊

Brian Karanja (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Elijah Mutua (Guest) on August 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on August 28, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on July 11, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joseph Mallya (Guest) on July 2, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Faith Kariuki (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mazrui (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Wafula (Guest) on March 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on January 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on January 2, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 16, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rose Waithera (Guest) on September 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on September 22, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on September 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Hawa (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Richard Mulwa (Guest) on August 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on August 6, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Josephine Nduta (Guest) on June 15, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on June 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Hekima (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joyce Nkya (Guest) on May 13, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on May 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Malela (Guest) on April 20, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on April 8, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mbise (Guest) on March 26, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on March 4, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on February 25, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sarah Karani (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on January 2, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on December 20, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on December 19, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nchi (Guest) on December 7, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Asha (Guest) on November 10, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Mwalimu (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on November 1, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwafirika (Guest) on October 26, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Ahmed (Guest) on October 22, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Sarah Karani (Guest) on August 26, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on August 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on August 6, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Michael Onyango (Guest) on July 13, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Jafari (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Njeru (Guest) on April 21, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About