Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Musyoka (Guest) on November 15, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mariam (Guest) on November 9, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Benjamin Kibicho (Guest) on October 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Jackson Makori (Guest) on August 23, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chum (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwachumu (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Francis Njeru (Guest) on April 28, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on April 13, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on March 9, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 8, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Agnes Njeri (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on January 19, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on January 10, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on December 12, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on November 24, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mutheu (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Onyango (Guest) on September 8, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nchi (Guest) on September 1, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 5, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam Hassan (Guest) on July 19, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Kamande (Guest) on July 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on June 29, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on June 21, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on June 21, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Mollel (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on June 6, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Linda Karimi (Guest) on June 5, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on April 29, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on April 21, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Khalifa (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on March 25, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on February 6, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on January 9, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on December 30, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on December 8, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Shukuru (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on November 12, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on October 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Mwangi (Guest) on October 1, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on September 21, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Khadija (Guest) on September 16, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on September 8, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on August 19, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Kazija (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Wanjala (Guest) on July 25, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rashid (Guest) on June 19, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 12, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

George Wanjala (Guest) on April 21, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More