Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Featured Image

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji kutoka Bulgaria, Mahubiri yameanza saa 1 asubuhi hali ikawa kama hivi:

MCHUNGAJI: My name is Pastor Livingstone
MKALIMANi: Kwa jina naitwa mchungaji Jiwe linaloishi
MCHUNGAJI: We thank God for All goals we set by our hands
MKALIMANI: Tunamshukuru Mungu kwa Magoli yote tuliyoweka kwa Mkono

Hivi navyoongea kanisa halina viti waumini wote tumekimbia nje naona Mkalimani amebaki na kiatu cha kushoto tu.
Sunday joke

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 20, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on May 6, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Andrew Mchome (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nancy Kawawa (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

James Mduma (Guest) on March 6, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ruth Mtangi (Guest) on February 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on February 12, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on February 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on January 31, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on January 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kiza (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Peter Mugendi (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on November 12, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on November 9, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on October 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on October 24, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Farida (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Robert Okello (Guest) on September 21, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on September 18, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on September 17, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Fadhili (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on July 12, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on July 1, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on June 19, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on June 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on May 26, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on April 30, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on March 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on March 3, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mary Sokoine (Guest) on February 24, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on February 3, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on January 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on December 28, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on December 14, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Umi (Guest) on October 27, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on October 12, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on September 10, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on July 5, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nahida (Guest) on June 25, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Violet Mumo (Guest) on June 7, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Kangethe (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on May 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on April 30, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Mduma (Guest) on April 30, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanaidi (Guest) on April 14, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on April 12, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Related Posts

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About