Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Featured Image

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofika akasema, "naomba leseni yako."
Mama akasachi mkoba Wake akatoa kioo kidogo cha kujtazama akampatia! Trafik akakiangalia kwa dakika 2
Akasema sasa si ungesema kama wewe ni trafik mwenzangu!
Haya nenda
Ulevi sio mzuri
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Malela (Guest) on July 20, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on July 17, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Musyoka (Guest) on June 26, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

David Sokoine (Guest) on June 24, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jamal (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 15, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on June 14, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on June 10, 2017

🀣πŸ”₯😊

Jane Malecela (Guest) on May 12, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maimuna (Guest) on March 30, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Selemani (Guest) on February 7, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on January 28, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Maulid (Guest) on January 5, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Wanjala (Guest) on December 16, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 2, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on November 13, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nassor (Guest) on November 8, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Diana Mumbua (Guest) on November 7, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Lowassa (Guest) on October 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Betty Cheruiyot (Guest) on September 15, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Binti (Guest) on September 4, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on September 3, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 3, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

George Mallya (Guest) on August 21, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on August 20, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on July 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Neema (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on July 9, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwafirika (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Mligo (Guest) on June 1, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on May 11, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on May 4, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on April 27, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on March 7, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on February 14, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on February 12, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Betty Akinyi (Guest) on January 26, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on January 23, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Warda (Guest) on December 17, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sharon Kibiru (Guest) on December 15, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mwinyi (Guest) on November 3, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Monica Nyalandu (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on September 22, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Aziza (Guest) on September 17, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwanahawa (Guest) on September 9, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Francis Njeru (Guest) on August 19, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Salima (Guest) on August 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Zuhura (Guest) on July 29, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on July 17, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Mrope (Guest) on July 11, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Raha (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Lissu (Guest) on April 25, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on April 25, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 3, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Related Posts

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About