Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba ambapo hata gari unalolitumia alikupa yeye na hataki upajue anapoishi, wakati unataka kuondoka unakutana uso kwa uso na baba yake ambaye alikuwaga wakili wako kwenye kesi ya ubakaji`

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kiza (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lydia Mahiga (Guest) on November 29, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on November 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on November 22, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jamal (Guest) on November 6, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Fikiri (Guest) on November 6, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elizabeth Malima (Guest) on October 17, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Michael Onyango (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Anthony Kariuki (Guest) on October 9, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on September 29, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on September 29, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Frank Macha (Guest) on September 10, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Fatuma (Guest) on August 28, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on August 18, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on August 6, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on July 23, 2016

🀣πŸ”₯😊

Alice Jebet (Guest) on July 2, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwajabu (Guest) on June 27, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 19, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on June 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on June 13, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 30, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on May 22, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 18, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on May 15, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 29, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Henry Sokoine (Guest) on April 27, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 19, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

George Ndungu (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Grace Njuguna (Guest) on March 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 21, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on January 23, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on January 11, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Alice Mrema (Guest) on December 21, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

David Kawawa (Guest) on December 18, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on November 18, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Muslima (Guest) on November 11, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Edward Lowassa (Guest) on October 17, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on October 14, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Lowassa (Guest) on October 5, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on September 29, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kahina (Guest) on September 21, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Irene Akoth (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Lucy Mushi (Guest) on August 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Sumari (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on August 12, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on July 27, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on June 1, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

James Mduma (Guest) on May 23, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on April 24, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on April 12, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on April 6, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More