Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Featured Image

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wake wa makopo akaona chupa ambayo ndani kuna ki2, alipoifungua likatoka jitu la ajabu. Huku akitetemeka lile jitu likamwambia kijana asante sana kwa kuniokoa omba vi2 viwili sasa hivi. Kijana kwa hofu akaomba pesa za kumiliki magari na majumba ya kifahari. Ghafla fuko la hela na pete ya bahati vikadondoka. Akaambiwa ombi la pili,akasema nibadilishe niwe kivutio ili nipendwe sana nakina dada Hapohapo akageuzwa akawa chipsi yai.!!πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Wairimu (Guest) on November 13, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Andrew Mchome (Guest) on October 22, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Rashid (Guest) on October 12, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Janet Wambura (Guest) on September 29, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on August 23, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nasra (Guest) on August 20, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Stephen Malecela (Guest) on June 30, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Hashim (Guest) on June 25, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Lucy Mahiga (Guest) on June 13, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Bahati (Guest) on June 3, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Betty Cheruiyot (Guest) on June 3, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Latifa (Guest) on May 2, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Benjamin Masanja (Guest) on April 29, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on April 12, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaidha (Guest) on April 3, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Abubakari (Guest) on January 28, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Azima (Guest) on January 22, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Diana Mallya (Guest) on January 17, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Moses Mwita (Guest) on January 16, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on January 14, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Yusra (Guest) on December 27, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on December 23, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 16, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on December 1, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on November 29, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Mugendi (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mbise (Guest) on November 5, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on October 17, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Aziza (Guest) on October 1, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Robert Ndunguru (Guest) on September 29, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on September 12, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on September 10, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jaffar (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Faith Kariuki (Guest) on August 25, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Janet Wambura (Guest) on July 26, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Stephen Kangethe (Guest) on July 21, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sharifa (Guest) on July 11, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Maneno (Guest) on July 6, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Rose Lowassa (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Peter Otieno (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Amir (Guest) on June 19, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Hellen Nduta (Guest) on June 17, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 16, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jamila (Guest) on June 12, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Josephine Nekesa (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on May 30, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on May 28, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Patrick Kidata (Guest) on May 26, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 24, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on May 20, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on May 10, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on April 20, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Related Posts

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

πŸ“– Explore More Articles