Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Habiba (Guest) on October 6, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rose Amukowa (Guest) on September 26, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 18, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 17, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 8, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on September 3, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 1, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Grace Minja (Guest) on June 14, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 18, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 29, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on December 31, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Salima (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on December 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on December 8, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 7, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on October 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on September 24, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 24, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Monica Nyalandu (Guest) on September 14, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 12, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Edward Lowassa (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mrope (Guest) on June 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bahati (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Selemani (Guest) on June 6, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nora Lowassa (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Lowassa (Guest) on May 3, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 7, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Mutua (Guest) on January 6, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Kiza (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Akech (Guest) on December 15, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Agnes Lowassa (Guest) on November 21, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Nyambura (Guest) on November 13, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on October 31, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Grace Minja (Guest) on September 4, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Lissu (Guest) on September 3, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on September 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on August 29, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nora Lowassa (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Bernard Oduor (Guest) on July 27, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on May 5, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About