Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Habiba (Guest) on October 6, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rose Amukowa (Guest) on September 26, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 18, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 17, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on September 8, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on September 3, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 1, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Grace Minja (Guest) on June 14, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 18, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 29, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on December 31, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Salima (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on December 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on December 8, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 7, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on October 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on September 24, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 24, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Monica Nyalandu (Guest) on September 14, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 12, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Edward Lowassa (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mrope (Guest) on June 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bahati (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Selemani (Guest) on June 6, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nora Lowassa (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Lowassa (Guest) on May 3, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on February 7, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Mutua (Guest) on January 6, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Kiza (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Akech (Guest) on December 15, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Agnes Lowassa (Guest) on November 21, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Nyambura (Guest) on November 13, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nuru (Guest) on October 31, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Grace Minja (Guest) on September 4, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Lissu (Guest) on September 3, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on September 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on August 29, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nora Lowassa (Guest) on August 22, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Bernard Oduor (Guest) on July 27, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on June 2, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on May 5, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

πŸ“– Explore More Articles