Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…" Mtangazaji akasema:- Akhasante sana John, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama ana kusikiliza akutafute kwa No. Gani!? John: Hapana, mi nilikuwa namshukuru tu maana amenitoa kwenye matatizo na ninapenda kumuombea Dedication wimbo wa Snura "MAJANGA" umfikie popote pale alipo…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Mligo (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joyce Aoko (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Malecela (Guest) on April 16, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on April 4, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Habiba (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Elijah Mutua (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Ochieng (Guest) on February 2, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Farida (Guest) on January 5, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on January 2, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 18, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 12, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthui (Guest) on November 27, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on November 25, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Faiza (Guest) on November 10, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elijah Mutua (Guest) on November 3, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on October 27, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Carol Nyakio (Guest) on October 16, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on October 12, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on September 30, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on September 23, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maimuna (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mchuma (Guest) on July 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Margaret Anyango (Guest) on July 13, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on June 21, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on May 23, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Tabitha Okumu (Guest) on May 22, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on May 12, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on March 9, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on March 1, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on February 24, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Mariam Hassan (Guest) on February 22, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Wande (Guest) on February 20, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Wairimu (Guest) on February 14, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Stephen Amollo (Guest) on January 26, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on January 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on January 19, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mchuma (Guest) on January 15, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mustafa (Guest) on December 30, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Monica Nyalandu (Guest) on December 25, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Musyoka (Guest) on December 8, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on December 8, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ahmed (Guest) on December 4, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on December 2, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on November 20, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on November 15, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Janet Sumaye (Guest) on July 30, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mary Kendi (Guest) on July 25, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on July 12, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 25, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on April 19, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Peter Otieno (Guest) on April 18, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Chris Okello (Guest) on April 4, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

πŸ“– Explore More Articles