Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, akamwambia baba yake akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa babaake, mwisho babaake akamwambia basi ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu! Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha kikao cha ndugu wote pande 2, Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu alipoolewa ndo kijana wetu atapona! Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote! Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana, mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia wanaume peke yao! Mzee akamwambia mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo? Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani umejionea hali halisi. Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako! Kijana akazimia! SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Agnes Lowassa (Guest) on August 30, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Zainab (Guest) on August 26, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joy Wacera (Guest) on August 10, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

George Tenga (Guest) on August 3, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on August 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on June 18, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Kamande (Guest) on May 28, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on May 25, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 18, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Mrope (Guest) on April 16, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mchome (Guest) on March 4, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mwanakhamis (Guest) on February 25, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Asha (Guest) on February 1, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on January 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 24, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Betty Kimaro (Guest) on December 4, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Catherine Naliaka (Guest) on November 28, 2016

😊🀣πŸ”₯

Rose Kiwanga (Guest) on November 24, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on November 4, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on October 23, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Elizabeth Mrope (Guest) on September 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on September 7, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on September 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on September 1, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanakhamis (Guest) on July 29, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ann Awino (Guest) on July 26, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on June 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on May 17, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Issa (Guest) on May 8, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 2, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

John Kamande (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 2, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on March 22, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Nyerere (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Khadija (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Malima (Guest) on February 22, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Frank Sokoine (Guest) on February 6, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Mbise (Guest) on January 31, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on January 1, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Njuguna (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Aziza (Guest) on December 2, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Jebet (Guest) on November 20, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Amani (Guest) on November 1, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on October 24, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

David Ochieng (Guest) on October 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mhina (Guest) on September 20, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

James Mduma (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Warda (Guest) on June 26, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Michael Onyango (Guest) on June 18, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on June 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on April 28, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More