Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kijakazi (Guest) on August 13, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Halima (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Robert Okello (Guest) on July 23, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on July 17, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on June 20, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on June 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 25, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on May 7, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Neema (Guest) on April 26, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on April 10, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Maida (Guest) on April 6, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Thomas Mtaki (Guest) on March 7, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Grace Mushi (Guest) on March 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on January 4, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 22, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

John Lissu (Guest) on December 4, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on November 28, 2016

🀣πŸ”₯😊

Mwanakhamis (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Charles Wafula (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Tabitha Okumu (Guest) on November 1, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on October 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Minja (Guest) on October 2, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on August 31, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Kamande (Guest) on August 26, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on August 21, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on August 9, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on July 29, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Makame (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Raha (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Abubakar (Guest) on May 31, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ann Awino (Guest) on May 28, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Malela (Guest) on May 21, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Henry Mollel (Guest) on May 7, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on April 27, 2016

😊🀣πŸ”₯

Maulid (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Victor Malima (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on December 26, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Kimotho (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kijakazi (Guest) on December 16, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joy Wacera (Guest) on November 29, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on November 27, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 8, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Andrew Mchome (Guest) on October 27, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on October 20, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on October 3, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on October 2, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Agnes Sumaye (Guest) on September 16, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on September 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on August 11, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 2, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on June 14, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Henry Sokoine (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

John Mushi (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Nyerere (Guest) on May 8, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Azima (Guest) on April 21, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Related Posts

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More