Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nora Kidata (Guest) on September 28, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on September 23, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Sokoine (Guest) on September 6, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Tabitha Okumu (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on June 4, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

George Tenga (Guest) on May 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on May 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on May 11, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

George Tenga (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 28, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on April 24, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 11, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on March 24, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on February 23, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kassim (Guest) on January 25, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on December 8, 2016

😊🀣πŸ”₯

Andrew Mchome (Guest) on November 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on November 17, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on October 7, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 25, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mboje (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on August 8, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Wangui (Guest) on July 27, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Irene Makena (Guest) on June 30, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on May 17, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Hellen Nduta (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 4, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on May 2, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on April 12, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on March 24, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Njoroge (Guest) on January 22, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 20, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Baraka (Guest) on November 15, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Zakia (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Benjamin Masanja (Guest) on October 21, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Chris Okello (Guest) on October 8, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Wanjala (Guest) on October 4, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mary Njeri (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Lissu (Guest) on September 11, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Kabura (Guest) on September 3, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Bahati (Guest) on August 29, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Yusra (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on July 24, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Bernard Oduor (Guest) on July 12, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Musyoka (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on July 5, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on June 14, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 4, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Kenneth Murithi (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Hekima (Guest) on May 9, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Agnes Lowassa (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Anna Sumari (Guest) on April 24, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About