Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Featured Image

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha
kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule
anaombea unaweza kupata mchumba
Miaka 36: At least pata mtoto mmoja.
Miaka 39: We will take care of all the wedding
bills…yeyote ni sawa sisi tutagharamia kila kitu mwanetu wee mlete tu .
Miaka 45: hivi kweli nani alikuroga.?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ changamkia fulsa umri ukifika

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine Nekesa (Guest) on April 26, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on April 17, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Aziza (Guest) on March 27, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Mrope (Guest) on March 26, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on February 27, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on February 20, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Habiba (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Njeru (Guest) on January 26, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 14, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Ndungu (Guest) on December 11, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Raha (Guest) on November 18, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 12, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on November 11, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 9, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Carol Nyakio (Guest) on November 7, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Njeru (Guest) on October 26, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Akech (Guest) on September 22, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anna Malela (Guest) on July 31, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on July 6, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Muthoni (Guest) on July 5, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Faith Kariuki (Guest) on May 31, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Rehema (Guest) on May 22, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Omar (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Patrick Mutua (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Achieng (Guest) on March 14, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Monica Adhiambo (Guest) on February 5, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Diana Mallya (Guest) on January 10, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mwafirika (Guest) on January 9, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anna Mchome (Guest) on January 5, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 5, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on September 12, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Henry Mollel (Guest) on August 26, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Omari (Guest) on August 6, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mariam Hassan (Guest) on July 30, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Lydia Mutheu (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Frank Macha (Guest) on July 16, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on July 16, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on July 6, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Masika (Guest) on June 16, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Sarah Karani (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on May 31, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Mushi (Guest) on May 21, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on May 14, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Rahim (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Irene Makena (Guest) on April 30, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Zakaria (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Brian Karanja (Guest) on April 4, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Related Posts

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More