Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito
Date: August 18, 2021
Author: SW - Melkisedeck Shine
ππππ
MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?
DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.
DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!π
πππππππππππππππππ
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u...
Read More
Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana...
Read More
Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul...
Read More
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ...
Read More
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f...
Read More
DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beibβ¦
B...
Read More
FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU...
Read More
Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck...
Read More
"MAENEO FLANI ya KISHUA"
-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam...
Read More
USIJIONE MJUAJI SAAAAβ¦NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum...
Read More
Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ...
Read More
*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*
*Teacher:* `Who is a pharmacist?`
*Shemdoe...
Read More
David Ochieng (Guest) on August 12, 2017
ππ
Leila (Guest) on July 30, 2017
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Rose Lowassa (Guest) on July 17, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Mary Kendi (Guest) on May 28, 2017
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Peter Mwambui (Guest) on May 20, 2017
π€£ππ
John Kamande (Guest) on May 19, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Diana Mumbua (Guest) on May 12, 2017
ππ€£ππ
Sharifa (Guest) on May 2, 2017
π Umenishika vizuri!
Peter Mbise (Guest) on April 26, 2017
Hii imenifurahisha sana! ππ
David Kawawa (Guest) on April 16, 2017
Hii imenibamba sana! π π€£
Daniel Obura (Guest) on March 29, 2017
Hii imenichekesha sana! π€£π
Michael Onyango (Guest) on March 17, 2017
πππ
Aziza (Guest) on March 13, 2017
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Hellen Nduta (Guest) on March 10, 2017
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Victor Kimario (Guest) on January 23, 2017
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Victor Kamau (Guest) on January 13, 2017
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Grace Mligo (Guest) on December 23, 2016
π Hiyo punchline!
Diana Mallya (Guest) on December 9, 2016
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Paul Kamau (Guest) on December 1, 2016
Nimefurahia sana hii joke! π π
Isaac Kiptoo (Guest) on November 30, 2016
π Lazima nihifadhi hii!
Janet Mwikali (Guest) on November 25, 2016
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Rose Lowassa (Guest) on November 4, 2016
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Tambwe (Guest) on November 3, 2016
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Kevin Maina (Guest) on October 21, 2016
π Ninaihifadhi hii!
Anna Kibwana (Guest) on October 6, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Henry Mollel (Guest) on October 6, 2016
π Naihifadhi hii!
Esther Cheruiyot (Guest) on September 25, 2016
Hii imenifurahisha sana! ππ
Christopher Oloo (Guest) on September 18, 2016
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Elizabeth Malima (Guest) on August 24, 2016
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Francis Mtangi (Guest) on July 18, 2016
ππ π
Farida (Guest) on June 16, 2016
π Bado ninacheka!
Joy Wacera (Guest) on June 16, 2016
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Farida (Guest) on April 10, 2016
π Umenishika vizuri!
Patrick Akech (Guest) on March 29, 2016
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Stephen Kikwete (Guest) on March 3, 2016
π Ninakufa hapa!
Grace Minja (Guest) on February 26, 2016
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Charles Wafula (Guest) on February 22, 2016
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Josephine Nduta (Guest) on February 20, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
John Lissu (Guest) on February 16, 2016
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Michael Onyango (Guest) on February 4, 2016
ππ€£ππ
Lydia Wanyama (Guest) on December 13, 2015
π€£ Hii imewaka moto!
David Ochieng (Guest) on November 27, 2015
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Betty Cheruiyot (Guest) on November 19, 2015
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Mwanahawa (Guest) on October 16, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2015
πππ π
George Mallya (Guest) on August 20, 2015
π Siwezi kuacha kucheka!
Janet Mbithe (Guest) on August 16, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Janet Mwikali (Guest) on August 14, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Rehema (Guest) on August 11, 2015
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Ruth Mtangi (Guest) on July 10, 2015
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Lydia Mutheu (Guest) on June 17, 2015
πππ€£
Elizabeth Malima (Guest) on June 17, 2015
π Nacheka hadi nalia!
Irene Makena (Guest) on May 8, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Faiza (Guest) on April 28, 2015
π Ninashiriki mara moja!
James Kawawa (Guest) on April 27, 2015
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Henry Sokoine (Guest) on April 2, 2015
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!