Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! 😂🤣

Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌

Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

George Wanjala (Guest) on May 11, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017

😅 Bado nacheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017

🤣🤣👏😆

Maulid (Guest) on December 22, 2016

😅 Nilihitaji hii!

Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016

😂 Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on November 11, 2016

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maulid (Guest) on October 22, 2016

😄 Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Khadija (Guest) on August 16, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on July 25, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jaffar (Guest) on June 30, 2016

😆 Ninacheka sana sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016

🤣🤣😂

Rubea (Guest) on May 24, 2016

😆 Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016

Hii ni ya maana sana! 😂👌

Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅

Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016

😄 Kichekesho kamili!

Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Anna Malela (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016

Asante Ackyshine

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015

😄 Umenishika vizuri!

Jamila (Guest) on November 17, 2015

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015

🤣😆😊😂

Nassor (Guest) on November 2, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Ramadhan (Guest) on November 1, 2015

🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

😆😂👏

Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015

😅😊😂👏

Kheri (Guest) on September 4, 2015

😆 Naihifadhi hii!

Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015

😂 Hii ni kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂

Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆

Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015

Mna talent ya jokes! 👏😂

George Mallya (Guest) on June 15, 2015

🤣🔥😊

David Sokoine (Guest) on June 1, 2015

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015

🤣👍👌

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015

🤣😄😊

Bakari (Guest) on April 21, 2015

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chiku (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆

Related Posts

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;- kwa nini umechelewa kazini
Juma;- kuna mtu njiani alidondo... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

📖 Explore More Articles