Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Kidata (Guest) on July 21, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 5, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 20, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nancy Komba (Guest) on June 20, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Njeru (Guest) on April 12, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on February 22, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on February 19, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on February 9, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on January 22, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on January 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

James Mduma (Guest) on December 9, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Christopher Oloo (Guest) on October 26, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on September 29, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on September 1, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Malela (Guest) on August 28, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 27, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Jafari (Guest) on July 7, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Jackson Makori (Guest) on June 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lucy Kimotho (Guest) on June 24, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on May 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on May 12, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joyce Aoko (Guest) on May 2, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Simon Kiprono (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 30, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nchi (Guest) on March 16, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Dorothy Nkya (Guest) on March 10, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on March 1, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Majaliwa (Guest) on February 23, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on February 20, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

John Lissu (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on January 25, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 4, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Hassan (Guest) on December 31, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Wangui (Guest) on December 29, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

George Mallya (Guest) on December 19, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Violet Mumo (Guest) on December 12, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Robert Ndunguru (Guest) on December 3, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mchawi (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Andrew Mahiga (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on November 3, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on August 21, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kiwanga (Guest) on August 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on July 13, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Kamau (Guest) on July 7, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on July 7, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Shabani (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Michael Mboya (Guest) on June 28, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Halima (Guest) on June 26, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on April 21, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About