Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zulekha (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on November 13, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on October 20, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Issack (Guest) on October 15, 2017

Asante Ackyshine

Husna (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Daniel Obura (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Victor Kimario (Guest) on August 18, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mrope (Guest) on August 17, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nora Lowassa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on August 4, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Susan Wangari (Guest) on July 27, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Omari (Guest) on July 19, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on July 19, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on July 10, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on July 4, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on June 16, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on June 9, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Mduma (Guest) on May 24, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on May 5, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on May 3, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on April 14, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 13, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on April 11, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Brian Karanja (Guest) on March 15, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 26, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on February 13, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Benjamin Masanja (Guest) on February 12, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Amukowa (Guest) on February 6, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on January 31, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on January 12, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on December 15, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on December 4, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rehema (Guest) on October 20, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alex Nakitare (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Moses Mwita (Guest) on September 2, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lydia Mahiga (Guest) on August 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Malisa (Guest) on August 10, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on August 3, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on July 27, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Kahina (Guest) on June 26, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on May 31, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on May 18, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amina (Guest) on May 11, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 9, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on April 5, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samuel Omondi (Guest) on March 6, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on February 17, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on December 16, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Catherine Naliaka (Guest) on November 5, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nancy Kabura (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Related Posts

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About