Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Mahiga (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on April 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 11, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on February 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on February 13, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on January 29, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Sumari (Guest) on January 29, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on January 17, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Christopher Oloo (Guest) on November 10, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mushi (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sekela (Guest) on October 4, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Athumani (Guest) on July 30, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mashaka (Guest) on July 17, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarah Karani (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Binti (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jane Muthui (Guest) on May 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jafari (Guest) on April 30, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on April 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Onyango (Guest) on April 25, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

πŸ“– Explore More Articles